Wakazi wa Kijiji cha Ndungu Wilayani Same,wakiangalia Greda likiendelea na kazi ya kusawazisha njia mara baada ya kumomonyoka kwa udongo katika eneo linalojengwa Daraja na kupelekea magari kushindwa kupita kwa muda.hali hiyo imekuja kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha Wilayani humo.zoezi hili lilichukua takribani saa moja na nusu na kufanikiwa kupita kwa magari yaliyokuwa yamekwama kupisha zoezi hilo.
Sehemu iliyomomonjoka kutokana na wingi wa maji ya mvua zinazoendelea kunyesha hivi sasa.
Kazi ikiendelea.
Baadhi ya magari na pikipiki yakiwa yamesimama kupisha zoezi la usawazishaji wa njia.
Magari yalianza kupita japo ilikuwa ni kwa shida.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Alafu hii barabara si imekabidhiwa juzijuzi tu kwa sherehe na nderemo.....lahaula ama kweli......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...